Imba na akina Ngedere, Mama Ndege, na Uncle T kuhusu Desimali! Desimali ni muhimu, jamani! Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids
Vous aimerez aussi
Year1 English
Learn English with PODCASTS
Learn English with Music
Learn To Read with Ms Rachel
Learn Colors, Numbers, Shapes and Letters with Ms Rachel
Languages for Kids
Videos for Kids
Videos for Toddlers with Ms Rachel - Toddler Learning Videos
Featured Videos
Sesame Street ABC Songs Playlist
Kindergarten - 5 to 6 years old
Christmas with Ms Rachel
Ending Blends - Phonics for Learning to Read
12th English KPK
🔠 Capitalization & Word Magic: Language Arts Fun for Kids! ✨
English Foundation Course
10th Class English New Book 2026
10th Class English Chapter 4 - Class 10 English Chapter 4 - English Class 10th Chapter 4
10th English KPK
SS 1 Biology
SS 2 Chemistry
English lessons for kids - My English teacher
JS 1 Mathematics
Primary 2 Mathematics
Commentaires
1 commentaires
Imba na akina Ngedere, Mama Ndege, na Uncle T kuhusu Desimali! Desimali ni muhimu, jamani! Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids
