Dalawang Tugtugin: "Ang Paglaki at Bawat Hakbang Ay Mahalaga!" | Tugtugin kasama ang Ubongo Kids | Mga Tula sa Filipino
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
Maaari Mo Ring Magustuhan
WAEC 2019 MATHS QUESTIONS THEORY
Statistics I - Mathematics Form 2
FORM 2 MATHS - TAFA ACADEMY
MATHS SHORT COURSES
MATHS TOPIC QUESTIONS
ECZ MATHS GRADE 12
MILITARY AT WAR: Sa Loob ng Training Camp ng British Army sa Kenya. Bakit #BritishArmy /Mga Sundalo Dito.
Ang Buhay ni Idi Amin Dada: Ang Lalaking Naganapang Pamahalaan sa Uganda gamit ang isang bakal na palo
PrePrimary Maths
SSS10 Math
Year1 Maths
SSS12 Math
GRADE 8 MATHEMATICS
Grade 10
GRADE 9 MATHEMATICS
TATLONG WIKA!!! Matalinong Mga Sagot | Kanta kasama ang Ubongo Kids | Mga Salawikain sa Wikang Kiswahili
Algebra II | High School Math | Khan Academy
Geometry - Part 2
Equation d'une droite 3ème année collège
Learn About Coins & More 🪙💡 Fun Math Adventures!
Celebrating STEM: counting and multiplication
Pry 1 Primary Mathematics
Mathematics Lessons for JAMB, WAEC, NECO, NABTEB, SS1, SS2 and SS3 students
Grade 10 Mathematics
Mga Komento
1 Mga Komento
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
