THREE LANGUAGES!!! Arithmetic for the Wise | Song with Ubongo Kids | Swahili Proverbs
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
قد يعجبك أيضًا
JSS 1 Junior Mathematics
Pry 4 Primary Mathematics
Kindergarten Curriculum
Basic Multiplication Lessons
PrePrimary Maths
SSS 1 Mathematics
SSS 2 Mathematics
Year3 Maths
ECZ MATHS GRADE 12
WAEC 2019 MATHS QUESTIONS THEORY
Statistics I - Mathematics Form 2
FORM 2 MATHS - TAFA ACADEMY
WELCOME TO THE KENYAN HISTORIAN | Kenya's Ultimate Channel for Captivating Documentaries. | Thank You
SSS10 Math
Celebrating STEM: counting and multiplication
Year1 Maths
SSS12 Math
MATHS TOPIC QUESTIONS
GRADE 8 MATHEMATICS
Grade 10
GRADE 9 MATHEMATICS
Ch. 5 Math 10 Class Sci
Gradients: Linear and Quadratic - Gradient of a Straight Line - 8 - Equation of a Straight Line 2
Geometry Lessons for Elementary Students | Homeschool Videos
التعليقات
1 تعليق
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
